Monday 7 September 2015

Fanya kupita uone kilichomliza Simon Cowell

The sight of Simon Cowell’s tearful, speechless, reaction to Josh Daniel’s version of Jealous at the end of last Sunday’s X Factor – and the public’s response to it - was nothing if not telling. After more than a decade as the all-powerful, ruthless, king of television and pop music, ‘the dark lord’ had become human – or to put it another way, vulnerable. Obviously, his emotions were wrapped up in the recent death of his mother and becoming a father for the first time in his mid 50s. But the episode had a greater significance. source:www.dailymail.co.uk/tvshowbiz/

Video iliyotikisa YOUTUBE ya The X FACTOR UK 2015


Hadithi.. hadithi ... HUKUMU BILA KOSA sehemu ya 2

 

 Ilipoishia sehemu ya 1
Sikufanya kazi kama ipasavyo kwa kuwa nilijawa na msongo wa mawazo nikimuwaza mke wangu. Nilirudi nyumbani jioni bila matumaini yoyote. Bado nilikuwa katika vita kali ya kifikra,nafsi ilinisuta, ilitaka niwataarifu wazazi wa Janeth lakini moyo ulipinga.
Sasa endelea.....
Sikupenda lawama ziniangukie mimi. Nilijipa ushujaa nikiamini kuwa mimi ni mwanaume wa shoka hivyo nitajitahidi kwa hali na mali kumtafuta mke wangu bila kuwashirikisha wazazi wake wala Mama yangu. Baada ya kuoga niligeuza sebule kuwa baa. Nilikunywa pombe kali kupita kiasi mpaka usiku wa manane.
Kutokana na ulevi ilifikia hatua nikawa naongea na Janeth kimawazo kama chizi . Nilimwona amekaa kwenye sofa la mbele yangu akitabasamu kwa kuinyanyua midomo yake mipana na kuuonesha mwanya mdogo katikati ya meno yake ya mbele. “Janeth mbona unanitesa mama?Wewe mwenyewe unajua ni kiasi gani ninavyokupenda ila nashangaa unanitoroka,sijui ni kwanini?”
Niliinuka kwenda kumkumbatia.Nilijikuta nikidondoka juu ya sofa bila kusukumwa.Kumbe Janeth hayupo nipo peke yangu na pombe zangu kichwani. Nikawa mpole, mnyonge, kama kifaranga cha kuku kilichoachwa na mama yake. Machozi yalinitoka bila kujielewa.
Nilikosa raha, siku tatu tu Janeth hayupo lakini niliona ni kama mwaka mzima. Nilitamani hata atokee usiku huo. Niliapa kumsamehe Mke wangu kwa hayo aliyoyafanya ilimradi tu arudi nyumbani ili arudishe furaha yangu kama zamani. Nilimpenda sana Janeth, nilimtimizia mahitaji yote ya mwanamke ilimradi atulie na mimi. Sikutaka kumchezea na ndiyo maana toka tuanze uhusiano wetu sikuwahi kumgusa mpaka tulivyofunga ndoa.
Siyo kwamba sikuwa rijali ni kutokana na maelezo yake kuwa yeye bado kimwali na ananiandalia tunda lake kwa ajili ya zawadi ya ndoa yetu. Nilikubaliana na yote nikiamini kuwa tukiwa ndani ya ndoa tutafurahia maisha zaidi. Pia nilitaka kumhakikishia Janeth kuwa nampenda na nipo tayari kwa lolote analolihitaji ilimradi liwe ndani ya uwezo wangu.
Mipango ya Harusi ilianza na hiyo ni baada ya kumaliza chuo Kikuu. Mimi tayari nilishaanza kujihusisha na masuala ya biashara toka kitambo.Kabla ya kufunga ndoa kulitokea vikwazo vya hapa na pale toka kwa wazazi wake Janeth.

Zilizo nikoshaa





Binti aeleza jinsi mzimu wa babu unavyomdai hirizi aliyopoteza!


binti huyu hakuwa muongeaji. Hii ilimtatiza sana mama yangu ambaye ni mchangamfu na hupenda mazungumzo. Mama ambaye amekuwa akishinda naye ninapokuwa kazini, ndiye aliyeshuhudia vituko vingi zaidi.

Kwa mfano, hata kama wamekaa wote eneo moja, binti huyu lazima ampige mama kisogo au achukue mkeka na kwenda kulala mbali na alipo mama.

Au anaweza kuvua ndala na kwenda nyuma ya nyumba kwenda kufanya mambo yake. Siku moja alifanya hivyo, kidogo mama akasikia mtu anatikisa bomba za maji ambazo zimewekwa nyuma ya nyumba. Ni mfano wa mtu anapigana na kitu kwani alikuwa akitoa sauti kubwa.

Ilibidi mama anyanyuke na kuingia ndani kwenda moja kwa moja chumbani kwake ambako ni usawa wa dirisha anakotikisa bomba Yule binti. Hizi ni bomba za maji zilizofungwa na kuegemezwa ukutani nyuma ya nyumba.

Mama kuchungulia akamuona binti anazipiga zile bomba huku akitamka “nitarudi…nitarudi msiniumize…nitarudi”.

Mkuki kwa nguruwe kwa...........



`Aliyemuua Alfred Kimbaa aliiba fedha

Tajiri wa mfanyabiashara wa mabegi soko kuu, jijini Arusha, Alfred Kimbaa (18), maarufu kwa jina la Mandela, aliyefariki kwa kuchinjwa hotelini na baadhi ya viungo vyake kuchukuliwa, amesema aliyefanya unyama huo  ni mtoto wa baba yake mkubwa.

Akizungumza na Nipashe, tajiri wa marehemu, Maximilian Lyatuu, mkazi wa Dar es Salaam, alisema mtoto huyo wa baba yake mkubwa alikuwa anasomea upadre.

Alisema kitendo hicho kimemuacha katika hali ngumu kutoka kwa ndugu wa marehemu, ambao hawataki kumwelea wakidhani amehusika katika kifo hicho.

Natamani ningekufa mimi huyu kijana angebaki tu hai, maana ndugu zake hawanielewi kabisa na wamenisusia msiba huu, gharama zote zangu na Rombo naenda kuzika leo (jana) sijui itakuwaje, alisema.

My look of me mame wawili



Tuesday 18 August 2015

Congratulations on Your Engagement My Josina.




Congratulations, we're happy to say!
We always hoped things would turn out this way.
We can't imagine a more perfect pair,
And a greater love, no two people share.
It's clear to see you belong together
Through sunshine, rain, and all kinds of weather.
The rest of your lives are about to unfold,
A lifetime of love, to have and to hold.

 A lifetime of love, to have and to hold.

Inahusu Jirani???????


Photos: Joyce's Birthday