Sunday, 27 May 2012

"HEBU MWACHENI MUNGU AITWE MUNGU"-SAJUKI.

SAJUKI
                          
                                                Sajuki pembeni yake mkewe Wastara
HEBU mwacheni Mungu aitwe Mungu! Hatimaye habari njema kutoka katika Hospitali ya Saifee iliyopo jijini Mumbai, India anakotibiwa staa wa filamu za Kibongo, Sadick Juma Kilowoko ‘Sajuki’ zinatia faraja kwa Watanzania, Ijumaa Wikienda linakupa stori ‘exclusive’ kutoka nchini humo.
ANYANYUKA KITANDANI, AONGEA
Habari hizo njema zinaeleza kuwa Sajuki aliyeambatana na mkewe, Wastara Juma na kaka yake, hatimaye ameweza kunyanyuka kitandani na kuongea tofauti na siku aliyoondoka Bongo na mwanzoni alipofikishwa hospitalini hapo.
Akizungumza na Ijumaa Wikienda, mwishoni mwa wiki iliyopita kwa njia ya simu, Wastara alisema Sajuki alikuwa amepata nafuu na hali siyo mbaya kwani alikuwa na uwezo wa kuzungumza hivyo akampa simu ili azungumzie afya yake yeye mwenyewe jinsi anavyojisikia

UMAJO WA MATAIFA WAISHUTUMU SYRIA KWA MAUAJI MAKALI NCHINI UMO








Taarifa ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa imesema mji huo ulishambuliwa kwa makombora na vifaru, mashambulio ambayo taarifa hiyo imeyataja kuwa ni matumizi mabaya ya nguvu dhidi ya raia ambayo yanakiuka sheria za kimataifa.
Balozi wa Syria katika Umoja wa Mataifa, Bashar Ja'afari, amekanusha taarifa hiyo ambayo ameiita kuwa ni tsunami ya uongo unaoenezwa na wajumbe wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa ambao wanaishutumu serikali yake kutokana na vifo hivyo.
Zaidi ya watu 100 waliuwa katika tukio ili.

LIBERIA'S WEAH CRITICISES COACHING CHOICE!!



Liberian legend George Weah has criticised the decision to overlook Thomas Kojo for the job of national team coach.
Kojo stood in as coach for one game after the sacking of Roberto Landi earlier this year.
But despite a win over Namibia in his only match in charge, the job eventually went to Kaetu Smith.
"I don't know [Smith], but Thomas Kojo I know well and I don't why they took him off the team," Weah told the BBC.
"The first game (against Namibia) he brought victory and now he's out of the team - that is wrong.
"I think the person who made that decision didn't make a good decision."
Smith has been based in the United States in recent years but knows the Liberia Football Association's technical director Henry Browne from his time coaching youth teams in Liberian in the 1990s.
His first competitive game in charge will be away to Senegal followed by a home match with Angola in qualifying for the World Cup in Brazil 2014.
That will be followed by the second leg of their 2013 Africa Cup of Nations qualifier against Namibia, which they lead 1-0 thanks to that victory engineered by Thomas Kojo back in February.
www.bbc.co.uk

LADY GAGA FORCED TO CANCEL INDONESIA CONCERT AMID PROTESTS BY HARD-LINE MUSLIMS!!





                                               LADY GAGA
Lady Gaga cancelled her sold-out show in Indonesia after Islamist hard-liners threatened violence, claiming her sexy clothes and provocative dance moves would corrupt the youth.
The controversy was a blow to the predominantly Muslim country's reputation for combining free speech and democracy with a mostly moderate brand of the faith.
Fans were devastated, despite the promoter's offer of full refunds.

Read more: http://www.dailymail.co.uk/news/article-2150651/Lady-Gaga-forced-cancel-Indonesia-concert-amid-protests-hardline-Muslims.html#ixzz1w8YBpl9y

UKWELI WA UMRI WA LULU KUJULIKANA LEO!!

MAHAKAMA Kuu leo inasikiliza maombi ya Msanii wa Filamu nchini, Elizabeth Michael 
(Lulu) ya kupinga umri uliowekwa katika hati ya mashitaka kwenye kesi inayomkabili ya mauaji ya msanii mwenzake, Steven Kanumba. 

Lulu katika maombi yake kupitia kwa wakili wake, anataka hati hiyo iandikwe umri wa miaka 17 badala ya 18. 

Wakili Peter Kibatala ameiomba Mahakama Kuu kufanya uchunguzi wa umri halali wa Lulu akiamini ina mamlaka hayo. 

Maombi hayo yalifikishwa Mahakama Kuu baada ya kushindikana katika Mahakama ya 
Hakimu Mkazi Kisutu Mei 7 mwaka huu. 

Hakimu wa Mahakama hiyo ya Kisutu, Agustina Mmbando alisema Mahakama hiyo haina mamlaka ya kusikiliza kesi ya mauaji inayomkabili msanii huyo hivyo haiwezi kusikiliza maombi yoyote. 

Aidha hakimu huyo alisema kuwa kesi hiyo iko kwa ajili ya kutajwa tu wakati ikiendelea na uchunguzi hivyo kama yapo maombi yoyote yawasilishwe Mahakama Kuu ambako ndiko itakaposikilizwa baada ya kukamilika uchunguzi wake. 
ENDELEA KUSOMA HAPA:http://www.habarileo.co.tz/kitaifa/?n=30633

MTOTO AFA HARUSINI!!

MTOTO mwenye umri wa miaka minne, Hassan Ibrahim, mkazi wa Mburahati amekufa papo hapo baada ya kunaswa na umeme akiwa kwenye sherehe ya harusi. 

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Charles Kenyela alisema mtoto huyo alinaswa juzi saa 4.30 usiku katika eneo la Manzese ambapo ilifanyika harusi hiyo. 

Alisema kuwa mtoto huyo alinaswa na umeme baada ya kukanyaga waya uliounganishwa na spika ya muziki katika sherehe hiyo ambapo alikufa papo hapo. 

Kenyela alisema kuwa maiti amehifadhiwa katika Hospitali ya Mwananyamala na polisi wanaendelea na upelelezi zaidi wa tukio hilo. 
chanazo habari leo.

TULIO KAA MKAO WA KULA KWA MDA MREFU SASA CHAKULA TAYARI ,ILE MOVIE YA DAMU YA MJOMBA IKO MADUKANI!!!

Pia kuna kitu kingine kiko jikoni kinapikwa kwa hiyo wadau tayarisheni njaa,kitu icho si mchezo hatari tupu.kwasasa tupitie madukani tuweze kupata nakala ya DAMU YA MJOMBA.

ZANZIBAR YACHAFUKA!!!





KANISA la Assemblies of God liliopo Kariakoo mjini Unguja, limechomwa moto na kuharibiwa vibaya katika vurugu zilizoibuka jana asubuhi. 

Waumini wa kanisa hilo walishindwa kufanya Ibada ya Jumapili katika kanisa hilo kutokana na uharibifu mkubwa huku wakiwa na hofu. 

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi, Aziz Juma alithibitisha kuchomwa moto kwa kanisa hilo juzi usiku wa saa nne na gari moja aina ya Corolla kuharibiwa vibaya. 

“Ni kweli Kanisa la Assemblies of God liliopo Kariakoo limechomwa moto na watu wasiojulikana na uchunguzi zaidi kujuwa nani waliohusika unaendelea,” alisema Juma. 

Kiongozi Mkuu wa Kanisa hilo, Dickson Kaganga alisema watu wasiojulikana, walivamia 
kanisa hilo saa nne za usiku juzi na kuanza kuwashambulia walinzi ambao walizidiwa na kukimbia. 

Kaganga alisema uharibifu mkubwa umefanyika ndani ya kanisa hilo na vifaa vya muziki na vipaza sauti vyote vimeharibiwa. 
ENDELEA KUSOMA HAPA:http://www.habarileo.co.tz/kitaifa/?n=30620

picha na swahilivila blogspot

Friday, 25 May 2012

DIAMOND ACHAFUKA UKWENI!!!


ILE skendo ya kunaswa hotelini na mcheza sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel bado inamtesa mwanamuziki Naseeb Abdul ‘Diamond’ ambapo safari hii anadaiwa kuchafuka vibaya upande wa wakwe zake kwa mchumba’ke Jokate Mwegelo, Ijumaa linafunguka.
Habari kutoka kwenye chanzo makini ambacho ni mtu wa karibu wa wawili hao zinadai kuwa baada ya habari hiyo kubumburuliwa na gazeti damu moja na hili, Risasi Jumamosi ndiyo iliyotibua mambo ukweni kwake hivyo kuonekana siyo.
MSURURU WA WANAWAKE
Ilidaiwa kuwa habari hiyo ndiyo iliyotonesha kidonda kilichokuwa kinataka kukauka cha ‘kichaa’ huyo wa Bongo Fleva kutajwa kutoka kimapenzi na msururu wa wanawake mastaa na wasiokuwa mastaa.
“Asikwambie mtu, unajua upande wa akina Jokate ni watu wa dini sana. Yaani kwa skendo skendo kama hizo, wanamuona Diamond kama anataka kuwachafua.
“Unajua zile ishu za kudaiwa kutoka kimapenzi na msururu wa wanawake zilikuwa zimeanza kutulia kwa sababu yupo na Jokate lakini baada ya kutokea hii ya kunaswa hotelini na Aunt, imetibua mambo kule ukweni na mbaya zaidi anaonekana hajatulia,” kilisema chanzo hicho kwa sharti la kutochorwa jina gazetini.

ZITTO: KANUMBA ALIOMBA AANDALIWE JIMBO!!!



MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, amesema kwamba marehemu Steven Kanumba alimuomba amuandalie jimbo la kugombea katika uchaguzi mkuu ujao.
Katika mahojiano yanayopatikana kwenye CD ya mazishi ya nguli huyo wa filamu, Zitto alisema marehemu walikuwa wakikutana naye mara kwa mara katika kubadilishana mawazo na kati ya mambo mazito ambayo waliweza kuzungumza ni hilo la kutaka kugombea.
Hata wakati mbunge huyo akiongea maneno hayo,gazeti hili liliwahi kumuuliza suala hilo Kanumba ambaye alikanusha na kudai kwamba haoni haja ya kugombea wakati viongozi wenyewe waliopo madarakani hawajali wasanii wa nchi hii pamoja na kazi kubwa ambayo wamekuwa wanaifanya.