Monday, 1 October 2012

WASOMALI WA NAIROBI WASHAMBULIWA!!!



Polisi waliwatawanya vijana ambao waliwalenga Wasomali wa mtaa wa Eastleigh.
Polisi wanasema watu 13 walijeruhiwa katika mashambulio hayo ya kulipiza kisasi.
Katika mashambulio ya karibuni dhidi ya makanisa nchini Kenya, wamelaumiwa wapiganaji wa Kiislamu, al-Shabaab wa Somalia, ambako wanajeshi wa Kenya wakishirikiana na wale wa Umoja wa Afrika wanapambana na wapiganaji hao.
chanzo:bbc

No comments:

Post a Comment