Tuesday, 9 October 2012

FIESTA 2012: AIBU ZOTE, YA DIAMOND KIBOKO!!!




INAWEZEKANA kwamba Tamasha la Fiesta 2012, lilikumbwa na matukio mengi ya aibu lakini lile la mwanamuziki Nasibu Abdu Juma ‘Diamond’, kuvua nguo na kumwaga ‘lazi’ mbele ya maelfu ya Watanzania, likawa la funga kazi kuliko yote.
Diamond ambaye alishangiliwa vilivyo, wakati akitumbuiza na kudhihirisha kwamba yeye bado moto wa kuotea mbali anapokabidhiwa jukwaa, alipozidiwa na mzuka, alisaula suruali yake na kubakiwa na kivazi cha ndani ambacho wengi hukiita ‘boxer’ (chupi).
chanzo:http://www.globalpublishers.info

No comments:

Post a Comment