Mahakama yakubari kumuachia LULU endapo wadhamini wawili watakiwa kuwa na Sh20m kila mmoja
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imempatia dhamana msanii wa Filamu Elizabeth Michael (Lulu) kwa masharti ya kupata wadhamini wawili wanaofanya kazi Serikalini wakiwa na Sh 20milioni kila mmoja.
No comments:
Post a Comment