Kichaa ageuza kinyesi kuwa silaha, awatishia watu wampe pesa!!!!
Hivi ndivyo jinsi kichaa akiwa amebebama kinyesi kwenye mfuko na kingine amejipaka kama silaha ya kuwatishia watu na kuwasumbua wampatie hela .Ikawa kizazaa maeneo ya Shule ya Uhuru Kariakoo.
chanzo cha habari: Bwana Victor Richard
No comments:
Post a Comment