Nilirudi nyumbani nikiwa mchovu sana,mawazo kibao yamenitawala kichwani. Nilijiuliza mara kwa mara ni wapi mke wangu alipokwenda sikupata jibu lolote. Nilipiga simu kwa mashoga zake wote kuwauliza endapo mke wangu kipenzi Janeth yupo kwao. Jibu walilonipa lilinikata maini, nilishindwa kuelewa kilichomsibu mke wangu mpaka sasa haonekani nyumbani kwa siku tatu.
Nilishindwa kuyazuia machozi yaliyoteremka kufuata vifereji vya mashavu yangu mpaka mdomoni.Taarifa za kupotea kwa mke wangu Janeth sikupeleka polisi kwanza. Nilitaka nifanye uchunguzi mimi mwenyewe ili nijue mahali alipo.
Janeth kipenzi changu cha moyo. Yeye ndiye kila kitu kwangu, bila uwepo wake maisha yangu huwa mashakani. Nilikuwa napata homa endapo mke wangu atachelewe kutoka kazini hata kwa sekunde kumi tu. Si Mimi tu ambaye nilijawa na wivu juu yake hata yeye mwenyewe hakupenda nipotee kwenye uwepo wa macho yake hata saa moja.
Tuesday, 18 August 2015
Hadithi yakusisimua:HUKUMU BILA KOSA
Baada ya kuomba radhi Basata yalitoa kifungoni shindano la Miss Tanzania.
Dar es Salaam. Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) limemfungulia mwandaaji wa shindano la urembo la Miss Tanzania, Lino International Agency baada ya kuomba radhi na kufanyia kazi baadhi ya mapungufu yaliyojitokeza na kutekeleza masharti aliyopewa.
Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake jijini Dar es Salaam leo, Katibu Mtendaji wa Baraza hilo, Godfrey Mngereza amesema LINO International Agency imepewa kibali cha muda kisichozidi miezi minne kwa ajili ya maandalizi ili kukamilisha usajili wa mawakala katika ngazi husika.
AT - MAMA MIE [OFFICIAL VIDEO]
Miezi minne mimi na mke wangu tunalala mzungu wa nne !
Hili ni eneo pia nyeti ambalo wengi wetu tunaliona la kawaida, kumbe ndio chimbuko la migogoro mingi inayozibomoa familia zetu ambako ndiko kila mmoja wetu anaanzia maisha.
Anasema, “ Mimi binafsi napenda sana michezo hasa mpira wa miguu. Kila siku huwa namwambia mke wangu kuwa mimi sinywi pombe wala sivuti sigara.
Yaani kwa kifupi sihangaiki na starehe za dunia zaidi ya mpira wa miguu hasa ligi ya EPL nay a hapa nyumbani VPL.
Tofauti na hapo baada ya kutoka kazini huwa nacheza na wanangu kwa mu mwingi sana, hali ambayo inanifanya niwepo nyumbani kwa muda wote hasa wikiendi. Lakini haisaidii chochote.
Monday, 26 January 2015
Zilizonikosha kwa facebook
Mwenyekiti auawa, viungo vyapikwa kama mboga
Mwenyekiti wa Kitongoji cha Songambele, Kata ya Ilela Tarafa Inyonga Wilaya ya Mlele Mkoa wa Katavi, Richard Madirisha (31), ameuawa kikatili kwa kuchinjwa shingo na kutenganishwa na kiwiliwili na kisha kunyofolewa viungo vya mikono na miguu na sehemu za siri na kichwa chake na viungo hivyo kupikwa ndani ya safuria kama mboga.
Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Katavi, Dhahiri Kidavashari mauaji hayo ya kikatili na kutisha yalitokea jana saa 5.30 usiku nyumbani kwa marehemu.
Kidavashari alisema, siku hiyo ya tukio marehemu alikuwa amelala nyumbani kwake akiwa na mkewe Meklina Mussa na ghafla walitokea watu watano ambao hawafahamiki na kuvunja mlango na kuingia ndani ya nyumba.
Say What? 9 Annoying Things White Men Say On Dates With Black Women
For some Black women, going on a date with a White man can be extremely nerve-wracking, especially if it’s their first time dating a white man. You might be wondering, “Will we have anything in common?” “What are going to talk about?” and “Will there be any awkward moments?” Well, in this case your best bet is to go into the date thinking that he’s just a normal guy, regardless of his race. Unfortunately, sometimes that plan fails miserably because some of these White men can’t help but keep reminding you that you are Black and they are White. It’s not that they do it on purpose, but it’s just that sometimes make certain comments that can seem annoying or even inappropriate. Making these comments cannot only ruin the date, but turn you off dating White men altogether. Not sure what I mean? Well, here is a list of the most annoying things that White men sometimes say on dates
source:http://madamenoire.com
source:http://madamenoire.com
House from hell: Horrifying pictures inside home where two young children lived with alcoholic parents
Rotten: A torn sofa and piles of filthy toys greeted child social services staff
These shocking pictures show the appalling and filthy state of a home from hell - where two young children were forced to live in squalor.
The alcoholic parents of the children, aged just three and six, were convicted of neglect after police uncovered the faeces-littered hovel.
The graphic photos reveal soiled linen, pillows and mattresses, dirty dishes piled high in the grubby kitchen and floors covered in junk.
Police were appalled after finding a bucket of stale urine in the kitchen, as well as what appeared to be faeces in an upstairs bedroom.
Soiled nappies were left lying around the house and stale food had created a haven for germs to breed.
The alcoholic parents of the children, aged just three and six, were convicted of neglect after police uncovered the faeces-littered hovel.
The graphic photos reveal soiled linen, pillows and mattresses, dirty dishes piled high in the grubby kitchen and floors covered in junk.
Police were appalled after finding a bucket of stale urine in the kitchen, as well as what appeared to be faeces in an upstairs bedroom.
Soiled nappies were left lying around the house and stale food had created a haven for germs to breed.
Mkubwa na Wanawe-Nitakupwelepweta (Official Video
Subscribe to:
Posts (Atom)





















