Tuesday 5 July 2011

HATIMAYE DAR PLUS KUTUA BONGO!!!!!!!!!!!!

DAR PLUS ni Jarida jipya ambalo liko njiani kuingia mtaani mda si mrefu. Jarida hili ni maalum kwa ajili kutoa matangazo na kutangaza biashara ya aina yoyote ikiwepo mitindo, burudani, michezo na matukio mbali mbali kutoka kwenye pande zote za dunia. Vile vile  litakuwa likiwaletea habari motomoto pamoja mahojiano ya watu mashuhuri wanaotoa mchango katika jamii yetu. 


Kwa maelezo zaidi na gharama za matangazo piga simu namba +255 657 975 747  au +255 655 454 162

Asanteni
DAR PLUS GROUP

No comments:

Post a Comment