Pumzika kwa amani JUMA KILOWOKO aka SAJUKI 2.1.2013,ujumbe kutoka kwa djchoka
clip aliyoichukua dj choka Hotelini Arusha wakati Marehemu Sajuki akiwa amepumzishwa baada yakudondoka stejini na kesho yake akapelekwa Dar kuendelea na matibabu. Hapo alikuwa chumbani hotelini.
No comments:
Post a Comment