Wednesday 16 July 2014

Je Waingereza waogopa vilabu vya nje?

Mlinzi huyo wa zamani wa Arsenal na Chelsea, mwenye umri wa miaka 33, amesema kuwa wanasoka wa Uingereza wanaogopa kujisajili katika vilabu vya nje ya Uingerea - kwanini ?
Adai wanahisi wametulia tuliii nyumbani hivyo hawataki au hawawezi bughdha za vilabu vya ugenini.
Yeye mwenyewe Ashley, anahamia Roma Uitaliano wakati mkaba wake na Chelsea unapokamilika.
chanzo:bbc

No comments:

Post a Comment