Wednesday 29 June 2011

ALIKIBA APATA AJALI!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Mwanamuziki maarufu nchini Tanzania na pande zote za East Africa kama si ulimwengu mzima "ALLY KIBA", amepata ajal eneo la Mikumi Morogoro akiwa anatokea kwenye shoo mkoani Mbeya. Mwanamuziki huyo aliye jipatia umaarufu hasa baada ya kushilikishwa katika wimbo wa "Hands across the World" na gwiji la muziki kutoka pande za Obama, R Kell. Taarifa zina sema hajali haikua mbaya na Kiba hakuumia.

No comments:

Post a Comment