Monday 26 March 2012

WATU 39 WAJERUIWA NA MMOJA KUAGA DUNIA!!!!!




Watu 39 wajeruiwa na mmoja kuaga dunia katika ajali iliyotokea  barabara ya m5 Frankley,England,basi la abiria kugongana na lorry,basi hilo likitokea Birmingham kuelekea Evasham mnamo 24march 2012 .

No comments:

Post a Comment