Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Charles Kenyela alisema mtoto huyo alinaswa juzi saa 4.30 usiku katika eneo la Manzese ambapo ilifanyika harusi hiyo.
Alisema kuwa mtoto huyo alinaswa na umeme baada ya kukanyaga waya uliounganishwa na spika ya muziki katika sherehe hiyo ambapo alikufa papo hapo.
Kenyela alisema kuwa maiti amehifadhiwa katika Hospitali ya Mwananyamala na polisi wanaendelea na upelelezi zaidi wa tukio hilo.
chanazo habari leo.
No comments:
Post a Comment