Basi hilo lililoanguka katika eneo la Tanga, kaskazini mwa Tanzania, lilikuwa limebeba wanawake sitini raia wa Kenya waliokuwa katika ziara ya kanisa nchini humo.
Ripoti zinasema kuwa watu sabini na watano wamejeruhiwa kutokana na ajali hiyo na wengi wamepelekwa katika hospitali ya Tumbi.
No comments:
Post a Comment