Thursday 30 June 2011

NGOMA YA ASILI YA COMORO!!!!!!!!!!!!!!


Kikundi cha ngoma ya asili ya Comoro kikitumbuiza wakati wa hafla ya chakula cha usiku alichoandaliwa mke wa rais, mama Salma Kikwete na mwenyeji wake mama Hadidja Aboubacar Ikililoi Dhoinine, Ikulu, Comoro,

No comments:

Post a Comment