Thursday 21 July 2011

DUDU BAYA AGEUKIA FILAMU!!!!!!!!!!!

MKALI wa bongo fleva nchini, Godfrey Tumaini ‘Dudu Baya’ amegeukia filamu ambapo tayari ameshacheza mbili mpaka sasa.
Kugeukia kwake katika filamu kunaongeza idadi ya nyota wa muziki huo waliojaribu katika upande wa pili wa sanaa, wakiwemo Q Chillah, Ali Kiba, Mr. Blue na wengineo.
Kazi ya kwanza ya Dudu inakwenda kwa jina la ‘The Musk’ huku pia akiwa mbioni kupakua movie yake ya pili iitwayo ‘The Leopard Ghost’ ambayo ndani yake atakuwemo msanii mwenzake, Hemed Suleiman.
Aidha, Dudu amebainisha kwamba ndani ya ‘The Leopard Ghost’ amecheza kama rafiki wa Hemed, pia mwanamuziki

No comments:

Post a Comment