Friday 16 September 2011

LUCY KOMBA ASHUKURU!!!!!!!!!!!!!!!!!!

.

MWIGIZAJI Lucy Komba, amesema anashukuru kuungwa mkono na wafanyakazi wenzake katika kazi zake za filamu. Mwanadada huyo ambaye ni karani katika Mahakama Kuu, alisema kazi yake hiyo haimzuii kufanya kazi zake za filamu, kwani zaidi anachoona yeye ni kuzidi kupata ‘support’ kutoka kwa bosi na wafanyakazi wenzake jambo linalompa faraja.
Pia ametanabaisha kuwa, wakati wa likizo hujichimbia zaidi na kufanya kazi hizo za filamu, fani ambayo anadai alianza kuizimikia tangu alipokuwa na umri mdogo.

No comments:

Post a Comment